MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M

August 25, 2015


Gari maalum la kampeni za mgombe Ubunge wa Jimbo la
Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas
Masaburi likipita eneo la Manzese kuhamasisha wananchi kushiriki mkutano wa
uzinduzi wa kampeni za CCM, Jangwani juzi.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha
Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake
wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya
Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa chama hicho, Dk John
Magufuli juzi.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha
Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake
wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya
Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa chama hicho, Dk John
Magufuli juzi.
Source: Father Kidevu Blog
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubunge kwa tiketi ya Chama
Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi (katikati) akisalimiana na mgombea ubunge wa
chama hicho katika Jimbo la Sengerema, William Ngeleja. Kulia ni Mbunge wa
Afrika Mashariki, Shyrose Bhanji, wakati wa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za
CCM Jangwani, Dar es Salaam juzi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »