Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi
ya CCM, Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika
mkutano wa kampeni aliofanya leo, Agosti 25, 2015, katika mji mdogo wa
Tarakea, jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro.
(Picha na Bashir Nkoromo).
Samia akimsikiliza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Vunjo,Innocent Meleck, katik mkutano wa ahadhara wa Vunjo.
Samia akiwajula hali kina mama waliojifungua katika hospitali ya Huruma, Rombo mkoani Kilimanjaro.