Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka
saini Hati za Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi, Watumishi wa Umma na
Sekta binafsi akishuhudiwa na viongozi wa taasisi na sekta hizo leo
Agosti 14, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiikabidhi baada ya kuweka saini Hati za Ahadi ya Uadilifu kwa
Viongozi, Watumishi wa Umma na Sekta binafsi akishuhudiwa na viongozi wa
taasisi na sekta hizo leo Agosti 14, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Business Roundtable
Ali Mufuruki na Mkuu wa Brela wakisaini kwa niaba ya sekta binafsi na za
umma Hati za Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi, Watumishi wa Umma na Sekta
binafsi akishuhudiwa na viongozi wa taasisi na sekta hizo leo Agosti
14, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.