JANET MBENE AKABIDHI VITANDA VAYA KUJIFUNGULIA VYA THAMANI YA MILIONI 30 ILEJE

August 08, 2015

    5
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene akimkabidhi Vitanda vya Kujifungulia Katibu wa CCM wilaya ya Ileje kwa ajili ya Hospitali za wilaya hiyo.
2
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene,akionyesha baadhi ya vifaa vinavyotumika katika hospital ambavyo avimetolewa na Karemjee Foundation kwa ajili ya Hospital ya Ileje.
4
Mganga mkuu wa Wilaya ya ilje, akiangalaia sehemu ya msaada wa vitanda uliotolewa na Janet Mbene.
1
Mafundi wa Hospitala wakiunganisha kitanda cha kujifunguliwa kilicholetwa na Mh Janet Mben kwa ajili ya hospitalai za ieleje.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »