Naibu Waziri wa Viwanda na
Biashara, Janet Mbene akimkabidhi Vitanda vya Kujifungulia Katibu wa CCM
wilaya ya Ileje kwa ajili ya Hospitali za wilaya hiyo.
Naibu Waziri wa Viwanda na
Biashara Janet Mbene,akionyesha baadhi ya vifaa vinavyotumika katika
hospital ambavyo avimetolewa na Karemjee Foundation kwa ajili ya
Hospital ya Ileje.
Mganga mkuu wa Wilaya ya ilje, akiangalaia sehemu ya msaada wa vitanda uliotolewa na Janet Mbene.
Mafundi wa Hospitala wakiunganisha kitanda cha kujifunguliwa kilicholetwa na Mh Janet Mben kwa ajili ya hospitalai za ieleje.