Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy
Mohamed, bungeni mjini Dodoma Mai 15, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Mbunge
wa Viti Maalum, Mchungaji Dr. Getrude Rwakatare (kulia) akizungumza na
Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona, bungeni mjini Dodoma Mei 15, 2014.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Waziri wa Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia bungeni mjini Dodoma Mei 15, 2014.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro
Nyalandu, bungeni mjini Dodoma Mei 15, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
wa Katiba na Sheria, Dr.Asha-Rose Migiro akisoma hotuba ya bajeti ya
Wizara yake bungeni mjini Dodoma Mei 15, 2014. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
EmoticonEmoticon