Kushoto ni Mfanyakazi bora wa mwezi wa kwanza katika hotel ya Tanga Beach Resort jijini Tanga kutoka kitengo cha Upishi akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego kwenye halfa ya kuwapongeza wafanyakazi bora iliyofanyika kwenye ukumbi wa La Crande La Casachika mwishoni mwa wiki