RAIS KIKWETE ATENGUA UTEUZI WA MAWAZIRI WAKE WANNE NI KATIKA SAKATA LA OPARESHENI TOKOMEZA UJANGILI

December 21, 2013

Rais Jakaya Kikwete ametengua rasmi uteuzi wa Mawaziri wa nne waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ya ukiukwaji wa haki za kiraia wakati wa Oparesheni Tokomeza Ujangili iliyokuwa ikiendeshwa na Serikali.
Akisoma Bungeni mjini Dodoma leo jioni, Taarifa hiyo ya Rais, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Bungeni mjini Dodoma kuwa Rais ameridhia maoni ya Wabunge wakati wa kujadili ripoti ya Kamati iliyoundwa na kuongozwa na Mbunge James Lembeli kuwa Mawaziri waliotuhumiwa waondoke.
 
CHANZO  mrokim.blogspot.com

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »