JIJI LA TANGA LAZIZIMA KWA MSIMU WA TIGO FIESTA 2017 USIKU WA IJUMAA HII

October 28, 2017
Msanii Aslay akitumbuiza mashabiki waliofurika uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga kwenye Tamasha kubwa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jumamosi.
Msanii mkongwe wa Taarabu Khadija Kopa  na msanii wa bongo fleva, Ben Pol kwa pamoja wakiwa kwenye jukwaa la tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga usiku wa kuamkia jumamosi.
RosaRee akiwa katika jukwaa la Tigo Fiesta
Msanii  Zaidi yao akiimba na mashabiki zake katika Tamasha la Tigo Fiesta Mkoani Tanga.





Msanii wa bongo fleva, Nandy akiwa kwenye jukwaa la tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga usiku wa kuamkia jumamosi.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »