Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye uwanja wa shule
ya msingi Katanga,Kasulu mkoani Kigoma tayari kunadi sera za CCM kwa
mwaka 2015-2020.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea ubunge wa jimbo
la Kasulu Kusini Ndugu Agustino Zuma Ole kwenye mkutano wa kampeni
uliofanyika viwanja vya shule ya msingi Katanga, Kasulu,mkoani Kigoma.
Mgombea
ubunge wa jimbo la Kasulu Kusini Ndugu Agustino Zuma Ole akiomba kura
kwa wakazi wa Kasulu Kusini mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja
vya shule ya msingi Katanga.
Mgombea
ubunge wa Jimbo la Kasulu mjini Ndugu Daniel Nswanzigwanko akizungumza
na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kabla ya kuhutubia
wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM
uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kasulu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi
waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika
kwenye uwanja wa CCM Kasulu mjini.
waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika
kwenye uwanja wa CCM Kasulu mjini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi
Kasulu mjini na kuwaeleza kuwa CCM imeleta mgombea anayejali wananchi, mtendaji na mfuatiliaji asiyependa rushwa na anatanguliza maslahi ya nchi kwanza kwa manufaa ya wote.
Kasulu mjini na kuwaeleza kuwa CCM imeleta mgombea anayejali wananchi, mtendaji na mfuatiliaji asiyependa rushwa na anatanguliza maslahi ya nchi kwanza kwa manufaa ya wote.