Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mahema yaliyowahifadhi wahanga wa
Mafuriko katika kijiji cha Magole,mkoani Morogoro wakati alipotembelea
maeneo yaliathiriwa na mafuriko na kuwapa pole wananchi jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto Amos Msisiri(5) katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni Dakawa Mkoani Morogoro wakati Rais alipokagua maeneo yaliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kuleta uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto Amos Msisiri(5) katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni Dakawa Mkoani Morogoro wakati Rais alipokagua maeneo yaliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kuleta uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu(picha na Freddy Maro).
EmoticonEmoticon