RAIS KIKWETE AKAGUA MAENEO YA MAFURIKO MKOANI MOROGORO.

January 29, 2014
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mahema yaliyowahifadhi wahanga wa Mafuriko katika kijiji cha Magole,mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliathiriwa na mafuriko na kuwapa pole wananchi jana. D92A5298 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana. D92A5306 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana. D92A5340 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana. D92A5357 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana. D92A5369 
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto Amos Msisiri(5) katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni Dakawa Mkoani Morogoro wakati Rais alipokagua maeneo yaliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kuleta uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu(picha na Freddy Maro).

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »