MJUMBE WA KAMATI KUU YA (CCM) JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA KUCHUKUA JIMBO LA KALENGA
Meya
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama
chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa kulia akiteta jambo na Mgombea
ubunge wa jimbo la Kalenga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Bw. Godfrey
Mgimwa wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye
kijiji cha Ibumila kata ya Mgama halmashauri ya Iringa vijijini mkoani
Iringa, Jerry Silaa amewaomba wana Ibumila na wana Kalenga kwa ujumla
wake kumchagua Godfrey Mgimwa ili kukamilisha mipango mbalimbali
aliyoiacha na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Dr. William
Mgimwa.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-KALENGA)
Meya
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama
chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa akihutubia katika mkutano wa
kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha Ibumila kata ya Mgama leo
Meya
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama
chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa kushoto akishiriki kuimba nyimbo
za kuhamasisha katika mkutano huo wa kampeni aliofanyika kwenye kijiji
cha Ibumila kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa wa Simiyu,Njalu Silanga na Anthony Mavunde kutoka Dodoma wakijumuika pamoja. nanWa
Wananchi
wakimlaki mgombea ubunge wa Kalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa
wakati alipowasili katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama.
Wananchi
wakimlaki mgombea ubunge wa Kalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa kwa
kumbeba juu juu, wakati alipowasili katika kijiji cha Mgama kata ya
Mgama.
Kada
wa chama cha Mapinduzi Bw. Fredrick Mwakalebela akipigia debe mgombea
ubunge wa jimbo la Lalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa katika kijiji
cha Mgama kata ya Mgama wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika
kijijini hapo leo.
Mgombea
ubunge wa jimbo la Lalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa akivishwa
mgorole na wazee wa kimila kama ishara ya heshima mara baada ya kuwasili
katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanyika kijijini hapo leo.