PATI LA UBINGWA WA MTANI JEMBE SIMBA SC JANA...ILIKUWA RAHA BWAAAA!

December 23, 2013

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe katikati akiwa ameinua Kombe la Mtani Jembe Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kuifunga Yanga SC mabao 3-1.

Wachezaji wa Simba na Kombe na Medali zao
Rais wa TFF, Jamal Malinzi akimkumbatia kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda
Malinzi akimvisha Medali Ramadhai SIngano 'Messi'
Malinzi akimpongeza Hans Poppe
Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe akimkabidhi Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi' mfano wa hundi ya SH. Milioni 1
Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh akipokea hundi ya Sh. Milioni 98.9
Malinzi akimkabidhi Nahodha wa Yanga, Jerry Tegete Kombe dogo
Nahodha wa Simba SC, Haruna Shamte akipokea Kombe
Jonas Mkude akivalishwa Medali
Amri Kiemba akivalishwa Medali
Hans Poppe na Ivo
IMEWEKWA DESEMBA 23 SAA 2:13 USIKU.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »