Furaha ya Tuzo

June 11, 2013
MENEJA Mkuu wa Hotel ya Tanga Beach Resort,Joseph Ngonyo akiwa ameshikilia tuzo mapema leo katika halfa ya kuwatunikia vyeti wafanyakazi bora wa mwezi wa sita katika hotel hiyo ambapo Tuzo hiyo alikabidhiwa na Rais wa shirikisho la Uhamasishaji wa biashara za hotel za Kimataifa hivi karibuni nchini Marekani. 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »