MENEJA Mkuu wa Hotel ya Tanga Beach Resort,Joseph Ngonyo akiwa ameshikilia tuzo ya dhahabu ambayo hoteli hiyo ilipata kutoka shirikisho la uhamasishaji wa biashara za Hotel za Kimataifa akiwa na wafanyakazi bora wa mwezi wa tano hotelini hapo mapema leo mara baada ya kuwatunu vyeti vya uchapakazi nzuri wafanyakazi hao.
Share this
EmoticonEmoticon