Nafurahia tuzo

June 11, 2013
WAANDISHI wa habari Mkoa wa Tanga wakifanya mahojiano na Mfanyakazi bora wa mwezi wa sita katika Hotel ya Tanga Beach Resort kutoka Idara ya Mapokezi,Mariam Kimaro mapema leo huku akiwa ameshikilia tunzo ya dhahabu ambayo hotel hiyo ilitunikiwa na Shirikisho la uhamasishaji wa Biashara za hotel za Kimataifa .picha kwa hisani ya blog hii

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »