MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassim Mbuguni Mwenye shati jeupe akiwa na diwani wa kata ya Majengo kulia kwake ni kushoto kwake ni mwenyekiti wa mtaa huo na Katibu Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi wilaya hiyo,Kapange wakati wa uzinduzi wa Kampu ya Otabi.
Share this
EmoticonEmoticon