WADAU WAKUTANA KUJADILI MABADILIKO YA TABIANCHI

April 12, 2018
MkurugenziwaTathmini ya Athari kwa Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Hifadhina Usimamiziwa Mazingira Dkt. Fadhila Khatib akifungu awarsha ya wadau kuhusu usimamizi jumuishi wamasuala yamabadiliko ya tabia nchi maeneo ya Pwani, warsha hiyo inaendelea katika Ukumbiwa NIMR Dar es Salaam.

Washiriki wa warsha jumuishi ya usimamizi wamasuala ya mabadiliko ya tabianchi maeneo ya Pwani wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni rasmi MkurugenziwaTathmini ya Athari kwa Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na UsimamiziwaMazingiraDkt. Bi. Fadhila Khatib.


Sehemu ya washiriki wa warsha jumuishi ya usimamizi wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi maeneo ya Pwani wakifuatilia hotuba ya Mgeni rasmi (hayupopichani).


Imeelezwa kuwa mabadiliko ya Tabia ya nchi yanasababisha athari mbalimbali kama vile ukame, mafuriko, kuenea kwa magonjwa ya kuambukiza, kumezwa kwa visiwa na kuongezeka kwa ujazo wa maji yabahari unaosababishwa na kuyeyuka kwa barafu katika ncha za Dunia.

Hayo yamesemwa leo na KatibuMkuu Ofisiya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na MkurugenziwaTathminiya Atharik wa Mazingira kutoka Baraza la Taifa la HifadhinaUsimamiziwaMazingiraDkt. Fadhila Khatib wa kati wa ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu usimamizi jumuishi wa masuala ya mabadiliko ya tabia nchi maeneo yaPwani.

Mhandisi Malongo amesema kuwa hasara za athari hizonikubwazaidikatika bara la Afrika kwakuwauchumi wake nitegemezikwahaliyahewana pia uwezo mdogo wakuhimili athari za mabadiliko ya tabia nchi kutokana na umaskini.
Hatahivyoripotiyawataalamuiliyotolewamwaka 2011 kuhusu gharama za kiuchumi zitokanazonamabadilikoyatabianchizinawezakufikiaasilimiambili 2% yaPato la Taifakwamwakaifikapomwaka 2030.

“WadauwamwambaowaPwanikatikamtandaowenumliouanzishachiniyamradihuumnaowajibuwakuwekakipaumbelekwenyekutafutamikakatiyakukabiliananachangamotozamabadilikoyatabianchi” Malongo alisisitiza.

Kwa upandemwingineMsimamiziwaMradihuoDkt. Kanizius Manyika amesema kuwa mradi umekamilika kwa asilimia 99 na umefanikiwakuvukamalengoyaliyokusudiwakwakutoamajikobanifuzaidiya 3000 katikaHalmashauriza Jiji la Dar es Salaam, Ujenziwamtaro Ilala BungoniwenyeurefuwaMita 475 naMtoni-MtonganiMita 550. Pia ujenziwaukutawawenyeurefuwamita 920 barabaraya Barack Obama naMita 380 katika Chuo cha Mwalimu Nyerere, Kigamboni.

Mradi huo ambao shughuli zake zimekamilika umechangia kutatua baadhi ya changamoto zinazosababibishwa nakuongezeka kwa usawa wamajiya bahari ikiwani pamoja nakutoa elimu kwa ummajuuyamabadilikoyatabiachinaatharizakenaupandajiwaMikokokatikajiji la Dar es Salaam.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »