Kanuni uendeshaji mitandao ya kijamii kukamilika mapema- Dk Mwakyembe

May 06, 2017
Baadhi ya wanataaluma ya habari na wadau anuai wa vyombo vya habari wakiwa kwenye kwenye kongamano la maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2017 linalofanyika jijini Mwanza. Moja ya kikundi cha burudani kikitoa burudani katika maadhimisho hayo. Moja ya kikundi cha burudani kikitoa burudani katika maadhimisho hayo. Afisa Habari na Utafiti kutoka Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania, Gasirigwa Sengiyumva, akizungumza kwenye kongamano la maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2017 linalofanyika jijini Mwanza juzi. Baadhi ya wanataaluma ya habari na wadau anuai wa vyombo vya habari wakiwa kwenye kwenye kongamano la maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2017 linalofanyika jijini Mwanza. Baadhi ya wanataaluma ya habari na wadau anuai wa vyombo vya habari wakiwa kwenye kwenye kongamano la maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2017 linalofanyika jijini Mwanza. Mwenyekiti wa TEF, Theophil Makunga akiwasilisha ujumbe kutoka TEF Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari 2017.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »