Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Baadhi
ya Viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA) TRA,
SUMATRA, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Waziri wa Fedha, wakati
walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 29, 2015.
Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi wa SUMATRA, TRA, na Wamiliki wa Mabasi
Tanzania TABOA, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Fedha, baada
ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu
jijini Dar es Salaam,leo Julai, 29, 2015.