MKUTANO WA WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA NYADA ZA JUU KUSINI ULIOANDALIWA NA TFDA

May 22, 2014

Mkurugenzi  wa TFDA akitoa  maelezo ya utangulizi  kuhusu  warsha  hiyo leo katika  ukumbi wa RMO mkoani Mbeya

Utambulisho  wa  washiriki  ukifanyika
Mgeni  rasmi  na  wawakilishi wa TFDA wakiingia  ukumbini
Wanahabari  wakiwa katika warsha  hiyo ya  siku  moja leo
Warsha ya  wanahabari na  wahariri mikoa ya nyanda za juu kusini
Warsha  ikiendelea  katika  ukumbi wa RMO Mbeya Picha na www.mwadhishiwetu.blogspot.com

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »