Mkacheze vema

June 04, 2013
MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Abdi Makange akizungumza na wachezaji wa timu za Umiseta mkoa wa Tanga leo mara baada ya kukabidhi maji ya kunywa cartons 50 zilizitolewa na umoja huo,kushoto kwake ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha na mwenye shati nyeupe ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Acheni Maulid.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »