MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Abdi Makange akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika shule ya sekondari ya Tanga School ambapo timu ya Umiseta ya Mkoa wa Tanga imeweka kambi ambapo alikwenda kuitembelea na kukabidhi maji ya kunywa cartons 50,Picha na Mpiga picha wetu.
Share this
EmoticonEmoticon