UVCCM yaipiga Tafu timu ya Umiseta Carton 50 za maji ya Kunywa

June 04, 2013
Afisa Elimu Mkoa wa Tanga,Ramadhani Chomola akipokea maji toka kwa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tanga,Abdi Makange wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Afisa elimu jiji la Tanga,Mr.Sengasu na kulia kwake ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha,Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Acheni Maulid na Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Tanga School

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »