WAZIRI MPINA ASHIRIKI USAFI UDOM

May 28, 2016


 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira,Luhaga  Mpina akishirika kufanya usafi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Udom wakati usfi wa mazingira kitaifa iliyofanyika, Dodoma leo


Naibu Waziri Mh.Luaga Mpina akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM wakati siku ya usafi wa Mazingira Kitaifa iliyofanyika eneo la Chuo hicho leo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »