Wakina mama wakiwa na kadi zao za CHF mara baada ya
kukabidhiwa na kiongozi wa mbio za Mwenge 2015 Khatibu Chumu ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu.
kukabidhiwa na kiongozi wa mbio za Mwenge 2015 Khatibu Chumu ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu.