Kocha wa Makipa Juma Pondamali, akiwafua makipa Deogratius Munishi na Juma Kaseja, wakati wa kupasha misuri moto.
Timu zote hivi sasa zinaingia uwanjani tayari kabisa kwa kukaguliwa kuanza mtanange huo.
VIKOSI VINAVYOANZA
YANGA:- Juma
Kaseja, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Nadir Haroub (c), Kelvin Yondani,
Frank Domayo, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Mrisho Ngassa
na David Luhende.
RIZEVU:- Deogratius Munishi, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Didier Kavumbagu, Juma Abdul, Hussein Javu, na Hassan Dilunga.
WACOMORO:-
Attoumani Farid, Ali Mohamed, Nizar Amir, Abdou Moussoidikou, Ahamadi
Houmadi Anli, Moidjie Ali, Mortadhoi Fayssoil, Attoumane Omar, Mohamed
Erfeda (c), Mouayade Almansoor na Ahmed Waladi.
Wachezaji wa Yanga wakiingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kupasha misuri
Wachezaji wa Comorro, wakiingia vyumbani....
Sehemu ya mashabiki.
Ngassa
alipachika mabao matatu kati ya saba katika dakika za 13, 64 na 68. Bao
la pili lilifungwa na Nadir Haroub, katika dakika ya 16, Didier
Kavumbagu, dakika ya 57 na 80 na Hamis Kiiza, akifunga katika dakika ya
59.
cHANZO sUFIANO MAFOTO
cHANZO sUFIANO MAFOTO