January 12, 2014
Peace Proscovia akidaka mpira mbele ya wachezaji wa Tanzania Bara
Mchezaji wa Tanzania, Sofia Komba akidaka mpira mbele ya wachezaji wa Uganda
Mwanaidi Hassan wa Tanzania Bara akidaka mpira pembeni ya wachezaji w Uganda
Mwanaidi kulia na mchezaji wa Uganda
Sofia Komba alicheza sana leo kujibu mapigo ya mpenzi wake, Joseph Owino aliyeifungia Simba SC bao jana katika ushindi wa 2-0 kwenye soka dhidi ya URA

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »