MASHABIKI YANGA WASHINDA AIRPORT WAKIMSUBIRI OKWI BADALA YAKE WAJIKUTA WAKIMPOKEA BEKI WA SIMBA GILBERT KAZE

December 18, 2013
IMEWEKWA LEO DESEMBA 18 SAA 7.35 USIKU
 





MASHABIKI kadhaa wa Yanga leo wameshinda Uwanja wa Ndege wakisubiri kumpokea Emanuel Okwi lakini hakutokea badala yake walijikuta wakimpokea beki wa Simba Gibert Kaze.

Mashabiki hao walifika uwanjani hpo wakiwa na jezi iliyoandikwa jina la Okwi kwa ajili ya kumkabidhi lakini waliishia kuikunja na kurudi nayo baada ya mchezaji huyo kutokufika.

taarifa kwa hisani ya pallangyor.blogspot.com


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »