Kwa
mujibu wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF) wajumbe wanaounda Mkutano wa Uchaguzi ni wenyeviti kutoka klabu 24
za Ligi Daraja la Kwanza (FDL), na 14 wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom
(VPL).
Wagombea
kwenye uchaguzi huo ni Hamad Yahya Juma (Mwenyekiti), Said Muhammad
Said Abeid (Makamu Mwenyekiti) wakati wanaoumba ujumbe wa Kamati ya
Uendeshaji ni Khatib Omari Mwindadi na Kazimoto Muzo.

EmoticonEmoticon