Uchangiaji wa damu.

June 07, 2013
Mwanafunzi wa Chuo cha Biblia kilichopo Kange jijini Tanga akitoa damu leo ikiwa ni uchangiaji wa hiari zoezi ambalo linaendeshwa na Klabu ya Waandishi wa habari mkoani Tanga na kufadhiliwa na Kampuni ya Simu za Mikononi Vodacom,Picha kwa hisani ya blog hii.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »