Muonekano wa warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanga 2013

June 07, 2013
WAREMBO wanaowania Taji la Redd's Miss Tanga 2013 wakiwa katika pozi mara baada ya kumalizika mazoezi yao leo katika ukumbi wa Lavida Loca jijini Tanga ambapo shindano hilo linatarajiwa kufanyika June 22 mwaka huu katika uwanja wa Mkwakwani,Picha kwa hisani ya blog hii.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »