ZIARA YA WANAMKIKITA NCHINI THAILAND

November 24, 2017
 Wajumbe kutoka Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita/Living Green) wakiwa na furaha baada ya kulakiwa na wenyeji wao walipowasili hivi karibuni  katika Jiji la Bangkok, Thailand tayari kwa ziara ya utalii wa kilimo cha kisasa na ufugaji pamoja na fursa la biashara.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Mkikita, Adam Ngamange (kushoto) na  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mtandao huo, Dk. Kissui S. Kissui wakiwawsili kwenye uwanja wa ndege jijini Bangkoko, Thailand
 Wakiwa na wenyeji wao

 Wakiwa kwenye mkutano



 wakati wa maakului



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »