Katibu Mkuu wa Chama cha 
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willibroad Slaa akiwa kwenye gari 
katika msafara wa mapokezi kwa ajili ya mkutano wa hadhara wa 
kuwatambulisha Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Mbunge wa Viti 
Maalumu, Ester Bulaya waliohamia Chadema wakitokea CCM jana jijini 
Mwanza.
Aliyekuwa Mbunge wa CCM jime la 
Kahama James Lembeli kulia akiwa na aliyekuwa Mbunge wa viti maalum 
Vijana  CCM mkoa wa Mara Esther Bulaya ambao wote wamehamia CHADEMA 
wakiwa katika mkutano huo unaofanyika jijini Mwanza.
Katibu Mkuu wa Chama cha 
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willibroad Slaa akiwa kwenye gari 
katika msafara wa mapokezi kwa ajili ya mkutano wa hadhara wa 
kuwatambulisha Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Mbunge wa Viti 
Maalumu, Ester Bulaya waliohamia Chadema wakitokea CCM jana jijini 
Mwanza.
Mbunge wa Jimbo la Kahama, mkoani
 Shinyanga, James Lembeli (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema 
Taifa, John Mnyika, wakiwapungia wananchi mikono walipokuwa kwenye 
msafara wa mapokezi ya Viongozi Wakuu wa Chama hicho wakiwasili jijini 
Mwanza kwa ajili ya mkutano mkubwa wa hadhara.
EmoticonEmoticon