JOSEPHINE MGAZA AGOMBEA VITI MAALUM TANGA

July 21, 2015

Mgombe ubunge viti maalumu mkoa Wa  Tanga.
Wanawake ni nguzo ya maendeleo.
 ………………………..
DHAMIRA YANGU
1. Kuwaunganisha wanawake wote Wa mkoa Wa tanga
2. Kujenga jumuiya imara ya UWT. 3. Kusaidia na kuboresha
maisha ya wanawake Wa makundi     
    mbalimbali
4. Kuwa mtetezi na mwakilishi Wa wanawake katika masuala
ya kijamii na kiuchumi.
5. Kusaidia uanzishwaji Wa miradi ya kiuchumi ili
kupambana na umasikini.
6. Nitakuwa mtumishi wenu
na sio kiongozi. Nichague Mimi nikawatumikie kwa manufaa ya wanawake    
     Wa mkoa Wa
Tanga.
Daima wanawake ni nguzo ya  jamii.
** Chagua Josephine Mgaza***

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »