PICHA NNE ZA RPC TANGA KASHAI AKIONYESHA NOTI BANDIA ZILIZOKAMATWA MKOANI TANGA HIVI KARIBUNI

October 26, 2014

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa juzi amabo hawapo pichani  fedha bandia alizokamatwa nazo Khalid Ramadhani mkazi wa Makorora akiwa na noti bandia 11 kila noti moja ikiwa na thamani ya tsh.10,000 sawa n ash.110,000 na noti bandia nne za dola 100 ambapo baada ya tukio hilo mtuhumiwa huyo alikiri kufanya biashara hiyo ya uuzaji wa noti hi


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »