ZIARA YA MBUNGE AMINA MWIDAU WILAYANI PANGANI.

October 30, 2013
Mbunge Amina Mwidau, akihutubia wanannchi wa Wilaya ya Pangani katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo Mkoa wa Tanga.

Mbunge Mwidau akiwa na Ofisa Utamaduni na Michezo wa Wilaya ya Pangani, Kemmy Anatory mara baada ya kuzindua mashindano ya Mwidau CUP.




Mbunge Amina Mwidau, akikabidhi vifaa vya michezo kwa kiongozi wa Timu ya soka ya wanawake ya Spin Sister, Habiba Hamisi. Timu hiyo ipo Marizala Pongwe jijini Tanga.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »