October 30, 2013
Mbunge Amina Mwidau akisaini kitabu cha wageni alipotembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Tanga, kulia ni Mratibu wa chama hicho Neema Hatibu.

Mbunge Mwidau, akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa Habari Mkoa wa Tanga, Hassan Hashimu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »