WAZIRI MKUU KIKAO CHA KIKUNDI KAZI CHA KITAIFA CHA MAWAZIRI CHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

March 23, 2023

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza Kikao cha Kikundi Kazi cha Kitaifa cha Mawaziri cha Nishati safi ya Kupikia, kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2023. Kushoto ni Waziri wa Nishati Januari Makamba na kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) George Simbachawene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »