Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts

USALAMA NA USTAWI WA MFANYAKAZI SI CHAGUO, NI KIPAUMBELE CHETU

April 29, 2026 Add Comment

Kampuni ya GASCO imeeleza kuwa usalama na ustawi wa mfanyakazi ni nguzo muhimu katika utekelezaji wa shughuli zake za kila siku, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya kuhakikisha mazingira salama, rafiki na yenye kuchochea tija kazini.

MIAKA 40 YA NEMC : SAFARI YA UTHABITI NA WITO WA HATUA

April 29, 2026 Add Comment
Na Mwandishi wetu

Katika dunia inayokabiliwa na changamoto kubwa za mabadiliko ya tabianchi, ongezeko la uchafuzi wa mazingira na kupungua kwa rasilimali asilia, hadithi ya Tanzania inajitokeza kama mfano wa matumaini, uthabiti na maamuzi ya kimkakati. Maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) si tukio la kawaida—ni kielelezo cha dhamira ya Taifa kulinda uhai wake huku likiendeleza uchumi wake.

PPP YAJIPANGA KUWA CHOMBO MUHIMU CHA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA

April 29, 2026 Add Comment
Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre) kimesema mafanikio ya utekelezaji wa ajenda ya ubia nchini yameongeza kwa kiasi kikubwa thamani ya miradi ya maendeleo, huku kikitoa wito wa kufanyiwa maboresho kwa Sheria ya Utumishi wa Umma ili kuongeza uwajibikaji na kulinda maslahi ya walipa kodi.

DKT. MAULID AONGOZA KIKAO CHA BODI YA CHUO CHA MAJI

April 29, 2026 Add Comment
Wajumbe wa Bodi ya Chuo cha Maji (Water Institute) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dr. Maulid J. Maulid wamekutana Aprili 28, 2026 jijini Dar Es Salaam kwa kikao cha 46 cha Bodi hiyo kujadili masuala ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utoaji wa huduma za kitaaluma na miradi ya maendeleo itakayoboresha ufundishaji na ujifunzaji.