Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts
MIAKA 40 YA NEMC : SAFARI YA UTHABITI NA WITO WA HATUA
habariNa Mwandishi wetu
Katika dunia inayokabiliwa na changamoto kubwa za mabadiliko ya tabianchi, ongezeko la uchafuzi wa mazingira na kupungua kwa rasilimali asilia, hadithi ya Tanzania inajitokeza kama mfano wa matumaini, uthabiti na maamuzi ya kimkakati. Maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) si tukio la kawaida—ni kielelezo cha dhamira ya Taifa kulinda uhai wake huku likiendeleza uchumi wake.
PPP YAJIPANGA KUWA CHOMBO MUHIMU CHA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA
habariKituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre) kimesema mafanikio ya utekelezaji wa ajenda ya ubia nchini yameongeza kwa kiasi kikubwa thamani ya miradi ya maendeleo, huku kikitoa wito wa kufanyiwa maboresho kwa Sheria ya Utumishi wa Umma ili kuongeza uwajibikaji na kulinda maslahi ya walipa kodi.
DKT. MAULID AONGOZA KIKAO CHA BODI YA CHUO CHA MAJI
habariWajumbe wa Bodi ya Chuo cha Maji (Water Institute) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dr. Maulid J. Maulid wamekutana Aprili 28, 2026 jijini Dar Es Salaam kwa kikao cha 46 cha Bodi hiyo kujadili masuala ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utoaji wa huduma za kitaaluma na miradi ya maendeleo itakayoboresha ufundishaji na ujifunzaji.
Wawekezaji sekta ya Mkonge waitwa Tanzania
habariNa Mwandishi Wetu
WAWEKEZAJI sekta ya Mkonge kote duniani wameahidiwa mazingira rafiki yatakayowavutia kuwekeza hapa nchini.
Subscribe to:
Comments (Atom)
