KAMA HAUKUBAHATIKA KUZIONA PICHA ZA MIRUNGI ILIYOKAMATWA MOMBO WILAYANI KOROGWE,RPC TANGA ALIWEZA KUWAONYESHA WAANDISHI TANGA RAHA BLOG October 02, 2014 TANGA RAHA BLOG Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,fresser kashai akiwaonyesha waandishi wa habari dawa za kulevya aina ya mirungi iliyokamatwa kwa wafanyabiashara wawili wakiwa kwenye usafiri wa pikipiki eneo la stendi ya mombo wilayani korogwe. Share this Author : TANGA RAHA BLOG Related Posts