Rais wa Tanzania Mh.Dkt.Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa
Kanda ya Afrika, Bodi ya Utalii Afrika Kusini Bi. Evelyn Mahlaba wakati
wa ufunguaji wa maonesho ya Kimataifa ya Utalii Swahili Expo jijini Dar
es Salaam leo.
Mkurugenzi
wa Kanda ya Afrika, Bodi ya Utalii Afrika Kusini Bi. Evelyn Mahlaba
akifanya mahojiano na mwandishi wa Capital Tv Bi. Yvonne Msemembo kabla
ya uzinduzi wa maonesho ya kimataifa ya Utalii Swahili Expo jijini Dar
Es Salaam jana.
Mkurugenzi
wa Kanda ya Afrika, Bodi ya Utalii Afrika Kusini Bi. Evelyn Mahlaba
akipozi kwenye picha ya pamoja na warembo(ushers) wanaosimamia banda la
utalii la Afrika kusini kwenye maonesho ya kimataifa ya Swahili Expo
Mlimani City jijini Dar Es Salaam leo.