MKUU wa wialaya ya Korogwe,Mrisho Gambo akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Ligi ya Gambo Cup mwishoni mwa wiki wilayani humo,anayemfuatia ni Mjumbe wa NEC CCM wilayani ya Bagamoyo na mwenye miwani ni Meneja wa benki ya NMB kanda ya Kaskazini,Vicky Bishumbo ambao ndio wadhamini wa ligi hiyo.
Share this
EmoticonEmoticon