VIONGOZI WA SERIKALI ,WAOMBOLEZAJI NYUMBANI KWA MAREHEMU LUKUVI AREA D DODOMA

March 25, 2026


Viongozi na waombolezaji mbalimbali wamewasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu) marehemu Mhe. William V. Lukuvi, Area D Jijini Dodoma.

Mhe. Lukuvi amefariki dunia leo tarehe 25 Machi, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu.


























Share this

Related Posts

Previous
Next Post »