Bi Mary Barney Laseko anakuwa mwanamke wa pili kupata daraja la kwanza kutoka Law School of Tanzania, wa kwanza akiwa Katibu Mkuu wa `CCM Dkt. Asha-Rose Migiro.
Hii imetokea leo wakati wa Mahafali ya 55 (Duru la Tatu) ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Kwenye Mahafali hayo Dkt Kikwete ametunuku Shahada na Stashahada kwa jumla ya wahitimu 2,452 ambapo 1,386 ama asilimia 56.6 ni wanawake. Picha na Issa Michuzi Ends |



EmoticonEmoticon