JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA MAFUNZO SONGWE NA MBEYA

August 05, 2025

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs Mwambegele (mwenye kofia) akiangalia mafunzo kwa vitendo kwa wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata kutoka Halmashauri ya mji wa Tunduma Mkoani Songwe leo Agosti 5,2025. Jaji  Mwambegele alitembelea vituo vya mafunzo ya Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi  ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 katika Wilaya ya Mbozi na Tunduma Mji mkoani Songwe na Halmashauri ya mji wa Mbeya na Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. (Picha na INEC).

--

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs Mwambegele (mwenye kofia) akiangalia mafunzo kwa vitendo kwa wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata kutoka Halmashauri ya mji wa Tunduma Mkoani Songwe leo Agosti 5,2025. Jaji  Mwambegele alitembelea vituo vya mafunzo ya Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi  ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 katika Wilaya ya Mbozi na Tunduma Mji mkoani Songwe na Halmashauri ya mji wa Mbeya na Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. (Picha na INEC).

--

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs Mwambegele (mwenye kofia) akiangalia mafunzo kwa vitendo kwa wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata kutoka Halmashauri ya mji wa Tunduma Mkoani Songwe leo Agosti 5,2025. Jaji  Mwambegele alitembelea vituo vya mafunzo ya Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi  ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 katika Wilaya ya Mbozi na Tunduma Mji mkoani Songwe na Halmashauri ya mji wa Mbeya na Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. (Picha na INEC).

--
 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »