RAIS DK.MWINYI APOKEA POLE KUTOKA KWA MAKAMU BARA KINANA

March 12, 2024

 


Mak Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Comrade Abdulrahman Omar Kinana kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi, Mwenyekiti wa CCM Taifa Mstaafu, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia tarehe: 29 Februari 2024, Dar es Salaam na kuzikwa tarehe: 02 Machi 2024, Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja . 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »