RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR DKT,AMAN ABEID KARUME AZINDUA UKUTA WA BAHARINI FORODHANI

January 07, 2018

DSC_0079
Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Aman Abeid Karume alipokata utepe kuashiria Uzinduzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.kulia yake ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt,Khalid Salum Mohammed na kushoto ni Mwakilishi wa Benki ya Dunia Andre Bald.
DSC_0091
Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Aman Abeid Karume akiangalia Ramani na kupata maelezo kutoka kwa  Mratibu wa Mradi wa Huduma za Jamii Mijini(ZUSP)Makame Ali Makame kuhusiana na Ujenzi wa Ukuta wa Baharini katika uzinduzi wa ukuta huo Mizingani Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0104
Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Aman Abeid Karume  akikunjuwa Kitambaa kuashiria Uzinduzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0132
Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Aman Abeid Karume  katikati akitembea kwa miguu baada ya uzinduzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani kuelekea katika Bustani ya Forodhani  Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0146
Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika uzinduzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani sherehe zilizofanyika katika Bustani ya Forodhani  Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0218
Mwakilishi wa Benki ya Dunia Andre Bald akitoa maelezo kuhusiana na ujenzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani sherehe zilizofanyika katika Bustani ya Forodhani  Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0246
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt,Khalid Salum Mohammed akitoa hotuba khusiana na Ujenzi wa Ukuta wa Baharini Mizingani pamoja na miradi mbalimbali ya serikali katika katika uzinduzi wa  Ukuta wa Baharini Mizingani sherehe zilizofanyika katika Bustani ya Forodhani  Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0260
Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Aman Abeid Karume akisisitiza jambo alipotoa hotuba ya Uzinduzi wa Ukuta wa Baharini Mizingani sherehe zilizofanyika katika Bustani ya Forodhani  Mjini Zanzibar.Ikiwa ni shamra shamra za Maadhimisho ya kutimia  Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.kushoto yake ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt,Khalid Salum Mohammed na kulia ni Mwakilishi wa Benki ya Dunia Andre Bald.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »