Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga akiwa anaingia katika mapango ya Amboni, wakati
Naibu Waziri huyo alipotembelea mapango hayo mwishoni mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga ( kushoto ) akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa
Tanga, Bi. Zena Said wakipatiwa maelezo na Mhifadhi Mkuu wa Kituo cha
mapango ya Amboni, Jumanne Mabule, wakati Naibu Waziri huyo
alipotembelea mapango hayo mwishoni mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga akiwa anatoka katika mapango ya Amboni, wakati
Naibu Waziri huyo alipotembelea mapango hayo mwishoni mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga ( kushoto ) akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa
Tanga, Bi. Zena Said wakioneshwa mchoro ambao ni mfano wa mnyama chui
uliotokea baada ya mabadiliko katika miamba ndani ya mapango ya Amboni
na Mhifadhi Mkuu wa Kituo hicho, Jumanne Mabule, wakati Naibu Waziri
huyo alipotembelea kwenye mapango hayo mwishoni mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga( katikati) akiwa anatembezwa ndani ya mapango ya
Amboni na Mhifadhi Mkuu wa Kituo hicho, Jumanne Mabule, wakati Naibu
Waziri huyo alipotembelea kwenye mapango hayo mwishoni mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga ( wa pili kulia ) akioneshwa mchoro ambao ni
mfano wa uwanja wa ndege uliotokea baada ya mabadiliko katika miamba
ndani ya mapango ya Amboni na Mhifadhi Mkuu wa Kituo hicho, Jumanne
Mabule, wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea mapango hayo mwishoni
mwa wiki.
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Japhet Hasunga akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya
kutembelea mapango ya Amboni wakati alipotembelea mapango hayo
mwishoni mwa wiki.
Picha na Lusungu Helela-MNRT