WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA WATAKIWA KUMTUMIKIA MUNGU NA KUACHA KUTENDA MABAYA

March 18, 2017
Mlezi wa wanafunzi Umoja wa wanafunzi wajumbe wa Kristo kutoka Shule ya Wasichana ya St.Christina Mwl Boaz Lazaro akizungumza na wanafunzi wakati wa sherehe ya kuwaaga wale wanaomaliza kidato cha sita kwa shule hiyo na Galanosi uliofanyika kwenye Kanisa la Pentecoster Tanzania(KLPT)
Mwenyekiti wa CASFETA shule ya sekondari ya Wavulana Galanosi  na Makamu Mwenyekiti wa wilaya,Anderson Mtalemwa akitoa neno kwenye sherehe hizo mapema leo
Mwalimu Nelson Kato ambaye ni Mlezi wa Vikundi vya Kikisto shule ye Sekondari ya Wavulana ya Galanosi (CASFETA, UKWATA,ASSA na TYCS akiwapa nasaha wanafunzi hayo
Wanafunzi wa shule ya Sekondari St,Christina wakiimba nyimbo za kuwaaga wenzao kwenye umoja huo
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Masechu wakiimba kwenye sherehe hizo
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Wavulana ya Galanosi wakiimba kwenye Shehere hizo

Wanafunzi wa shule ya Sekondari St,Christina wakiimba nyimbo za kuwaaga wenzao kwenye umoja huo
Wanafunzi na wageni wengine waalikwa wakifuatilia kwa umakini hotuba ya mgeni rasmi

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Galanosi wakiendelea kutoa burudani wakati wa sherehe hizo



Mama Hosea akifuatilia matukio mbalimbali kwenye sherehe hizo leo

Muonekana wa wanafunzi na wageni waalikwa wakifuatilia matukio mbalimbali

Muonekana wa wanafunzi na wageni waalikwa wakifuatilia matukio mbalimbali
Muonekana wa wanafunzi na wageni waalikwa wakifuatilia matukio mbalimbali
Wanafunzi wa shule ya shule ya Sekondari  St.Christina wakitumbuiza kwenye sherehe hizo



Wanafunzi wa shule ya shule ya Sekondari  St.Christina wakitumbuiza kwenye sherehe hizo


Mlezi wa wanafunzi Umoja wa wanafunzi wajumbe wa Kristo kutoka Shule ya Wasichana ya St.Christina Mwl Boaz Lazaro wa pili kutoka kushoto akiwaongoza wanafunzi hao kuingia ukumbini

Mlezi wa wanafunzi Umoja wa wanafunzi wajumbe wa Kristo kutoka Shule ya Wasichana ya St.Christina Mwl Boaz Lazaro wa pili kutoka kushoto akiwaongoza wanafunzi hao kuingia ukumbini
Wanafunzi wakiingia ukumbini

Mlezi wa wanafunzi Umoja wa wanafunzi wajumbe wa Kristo kutoka Shule ya Wasichana ya St.Christina Mwl Boaz Lazaro wa pili kutoka kushoto akiwaongoza wanafunzi hao kuingia ukumbini
Wanafunzi wakifanyiwa maombi kabla ya kuanza sherehe hizo ambazo zimefanyika leo kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi wanaohitmu kidato cha sita
Wanafunzi wakiendelea na maigizo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »