LAPF YAWAFUNDA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MAANDALIZI KABLA YA KUSTAAFU

August 13, 2016
1
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe akizungumza wakati wa semina na wahariri wa Vyombo vya habari mbalimbali kuhusu maandalizi ya mafao ya kustaafu inayofanyika kwenye jengo la LAPF Tower Makumbusho jijini Dar es salaam, ambapo mada mbalimbali zimetolewa kuhusu mafao yanayotolewa na mfuko huo Kutoka kulia ni Kafiti Kafiti Afisa  Matekelezo Mwandamizi Kanda ya Mashariki LAPF, Amina Kassim Meneja wa Kanda LAPF.
2
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe akizungumzawakati wa semina ya wahariri wa Vyombo vya habari mbalimbali kuhusu maandalizi ya mafao ya kustaafu inayofanyika kwenye jengo la LAPF Tower Makumbusho jijini Dar es salaam, Kutoka kulia ni Kafiti Kafiti Afisa  Matekelezo Mwandamizi Kanda ya Mashariki LAPF, Amina Kassim Meneja wa Kanda LAPF, Theophil Makunga Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na kushoto ni Victor Kikoti Meneja Matekelezo LAPF.
3
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa katika semina hiyo inayofanyika kwenye jengo la LAPF Tower jijini Dar es salaam.
4 5
Afisa Habari wa LAPF Rehema Mkamba akigawa vifaa kwa ajili ya semina ya wahariri wa vyombo vya habari katika semina ya mafao ya kustaafu yaliyofanyika kwenye jengo la LAPF Tower jijini Dar es salaam.
6 7 8
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri TEF Bw. Thephil Makunga akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa semina hiyo, kulia ni Amina Kassim Meneja wa LAPF Kanda ya Mashariki na kushoto ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe.
9
Amina Kassim Meneja wa LAPF Kanda ya Mashariki akitoa mada katika semina hiyo
10
Amina Kassim Meneja wa LAPF Kanda ya Mashariki akisisitiza jambo  mada katika semina hiyo.
IMG_0934
Victor Kikoti Meneja Matekelezo LAPF akitoa mada wakati wa semina ya Wahariri wa Vyombo vya Habari kuhusu maadalizi ya mafao ya kustaafu iliyofanyika kwenye jengo la LAPF Tower jijini Dar es salaam.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »